Thursday, May 13, 2010

Sean Kingston atua kwa ajili ya shoo ya kili award
Sean Kingston mwanamuziki maarufu toka nchini Marekani, ameshatuwa nchi usiku wa kuamkia leo hapa akiwa na Mkurugenzi wa masoko wa TBL,David Minja (kulia) pamoja na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe (pili kushoto) wakitokea ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa JK Nyerere .

No comments: