Saturday, May 1, 2010

katiba ya jamhuri ya muungano katika libeneke la wizara ya sheria
Habari kadidi na wadau,
Katiba ya nchi tayari inapatikana katika
tovuti ya Wizara ya Katiba na Sheria
Samahani kwa usumbufu wowote uliotokea, kwa vile ndiyo kwanza na Wizara imeingia katika Libeneke hili.
Tunaendelea kujiweka sawa kadri siku zinavyoendelea.
Mambo mengi tu mazuri yataendelea kuongezwa katika Tovuti hiyo.
Ahsanteni kwa maoni,
Mdau Geofrey Chami

No comments: