Thursday, May 13, 2010

Cameron Waziri Mkuu Mpya


Malkia Elizabeth akisalimiana na waziri mkuu mpya wa Uingereza David Cameron. Du hii tamu sana kweli wenzetu wako mbali kwa kila kitu hapa natumai ingetokea sijui kama huyo alieshindwa angeondoka kama alivyofanya Brown ? Tujifunze jamani maana kungangania madaraka utakukuta Africa. Tubadilike tunaweza kubadilika na kujiletea maendeleo yetu.

No comments: