Thursday, May 6, 2010

Du mti chali !! round ya mlimanicity (jana)
du ila leo kitu kiko sawa sikuwa na kichukulia picha changu . Hongereni sana wahusika maana jana ulikuwa hivyo leo umesimama kama unavyotakiwa. Na pia usafi uliofanyika katika barabara hii naomba uendelee kwa maana tunaweza jamani hii ni kwa wahusika mnaohusika na mamlaka hizi sitaki kuamini kuwa mkutano ukiisha barabara itaachwa. tubadilike !!

No comments: