Wednesday, July 29, 2009

Ziara ya wanaume TMK Family na Tip Top yafana ile mbaya

Mh Themba ambaye hivi karibuni amezindua albamu yake iitwayo mtoto wa kichaga akiwa amepozi mara baada ya kuikamilisha ziara yao fupi na iliyofana kwa kiasi kikubwa
Chege na Mangwea pamoja
Madee na Berryblack wakiwa wamepozi baada ya kazi nzito
Baada ya mavuno Mkubwa Fella (kulia) akijiachia kimtindo na wanawa mara baada ya ziara yao kufana kwa kiasi kikubwa
Watu walikuwa nyomi ile mbaya
Berry Black toka Zenji nae alikuwepo bara kuwapa tafu wana TMK wanaume Family pamoja na Tip top conections kwenye ziara yao walioifanya hivi karibuni na kufana sana kama uonavyo pichani
Chege Chigunda a.k.a mtoto wa mama said naye akikamua jukwaaani
Keisha akiwajibika vilivyo jukwaani.


UZINDUZI WA ALBUM TATU MH TEMBA INAITWA MTOTO WA KICHAGA ALBUM YA FELLA INAITWA MKUBWA NA WANAWE NA ALBUM YA MADEE INAITWA PESA NA KUTAMBULISHA SINGO YAO MPYA YA TMK NA TIP TOP INAITWA CHAMA KUBWA,TOUR IMEFANYIKA SUMBAWANGA,MBEYA UWANJA WA SOKOINE NA IRINGA UWANJA WA SAMORA.

No comments: