Friday, July 24, 2009

Hatimaye Mkonga wazinduliwa rasmi


Rais Jakaya Kikwete akizindua rasmi Mkongo wa Kimataifa mawasiliano uliopita chini ya bahari uliowekwa na kampuni ya Seacom Dar es Salaam jana hii ambao utatuunganisha na dunia kimawasiliano kwa urahisi na gharama nafuu zaidi.

No comments: