Wednesday, July 29, 2009

Meli yawaka moto Dar es Salaam
Meli ya Mizigo inayodaiwa kuwa ni ya Mfanyabiashara Bakhresa wa Dar es Salaam, Mv Pemba ikiwaka moto asubuhi jana katika mwambao wa Bahari ya Hindi eneo la Bandari zinapoegesha meli za Uvuvi na karibu kabisa na Gati za Boti za Zanzibar.
Jitihada za vikosi vya Zimamoto vya Jiji na Bandari vilifanya kazi ya ziada japo kunusuru mali na meli.

No comments: