Wednesday, July 15, 2009

ajali masaki
Kadidi2 Mkuu!
Ajali nyingine bwana hata hazielezeki. Jamaa chwaaa....! kaacha barabara kubwa ya main rodi, kavuka msingi wa bustani ya garden ya ofisi fulani hv huko maneo ya barabara ya Haileselasi rd, Masaki, kaingia kwenye banda la Mlinzi, ngwaaaaa!!Dereva bahati hakuuumia saaaana, na mlinzi aliekuwa akibadili nguo ndani ya kibdanda chake, aliacha zoezi hilo na kutoka nduki akidhani ni mabomu ya mbagala


Regards

Mdau
$Bonge$

No comments: