Tuesday, July 14, 2009

tehe tehe tehe.....
Michuzi acha hizo bwana! Tubandikie taswirazza hizi za obama na sarkozy bwana! Yaani maprezidaa wote wangekuwa hivi mambo si yangekuwa mswano...tehe tehe tehe....
Mdau Greece

Si vibaya ukaangalia video ya tukio hilo kwa kubofya hapa

http://www.youtube.com/watch?v=SMmX72N6EtE&feature=related

No comments: