Wednesday, July 15, 2009

mizinga kila kukicha barabara ya sam nujoma road
mdau alinusurika akiwa na michubuko ya kiushkaji baada ya kugongwa barabara ya sam nujoma road jijini dar ambayo toka ifunguliwe njia mbili zake zimekuwa na mizinga ya mara kwa mara kutokana na sababu mbali mbali kubwa ikiwa jinsi palivyo tambarare kwa hiyo mguu mguu tu...

No comments: