Friday, July 24, 2009

"Wanangu msijali tutafika tu manake mungu ni mkubwa" ni kama ndivyo anavyofikiria mawazoni mwake jamaa huyu ambaye amewapakia watoto saba katika pikipiki yake yeye akiwa mtu wa nane, bila hata kujali kwamba anahatarisha maisha yao na yeye mwenyewe kwakweli hii ni kali wadau hebu iangalieni na kuchangia maoni yenu.

No comments: