Wednesday, July 29, 2009

mjumbe wa FIFA aliyenyamazisha mgogoro wa TFF na ZFA

Huyu ndiye mjumbe maalumu wa FIFA kwa nchi za kusini mwa Afrika, Ashford Mamelodi ambaye majuzi amefanikiwa kunyamazisha zogo kati ya vyama vya soka vya bara na visiwani (TFF na ZFA) ambapo ZFA walikuwa wakidau kuwa wanachama kamili wa FIFA na si lazima wadandie mgongoni pa TFF.

Mamelodi akasawazisha kwa kusema katiba ya FIFA inatambua Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa ni nchi moja na mwakilishi wake ni TFF pekee na kwamba ZFA haiwezi kamwe kuwa mwanachama wa FIFA kwa mantiki hiyo

No comments: