Thursday, July 23, 2009

" Mashine Hiyo, Kazi Kwenu!"


Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo(WAMA) Mama Salma Kikwete akimkabidhi Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tabora Dr.Leslie Mhina mashine ya kuhudumia watoto wachanga(Suction pump) na vitanda vya kujifungulia mama wajawazito katika hafla fupi iliyofanyika katika hospitali kuu ya Kitete jana(Jumatano).

No comments: