Tuesday, July 28, 2009

Treni ya watalii ilipowasili Dar es Salaam
Treni kitalii ya Rovis Rail kutoka Afrika Kusini imewasili Dar es Salaam katika stesheni ya TAZARA ikiwa na watalii zaidi ya 50. Treni hii itatumiwa na mashabiki na watalii wakati wa michuano ya kombe la Dunia nchini humo 2010. Nawatembeza kuiona ndani na nje.
Mabehewa yake.
maofisa wa TAZARA wakitoka katika mabehewa hayo. Hapai baa, ambapo abiria wanaweza kujipatia vinywaji vya aina zote.
Moja ya vyumba vya mapumziko.
Room ya daraja la pili ipo hivi.
Mhudumu mmoja wapo katika treni hiyo iliyo na mazingira tofauti na zetu tulizonazo.
Hapa ni maliwatoni.
Maofisa wa TAZARA wakiwa katika chumba cha kulala daraja la kwanza.
Kitanda cha daraja la kwanza.
Huu ni mgahawa ndani ya treni
Tunajifunza nini mlio na dhamana hii !!
Asante kwa picha mwanana Father kidevu.

No comments: