Tuesday, October 19, 2010

mr II nae aendelea kupasua miamba ya kampeni.

Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeye Mjini kupitia tiketi ya chama cha CHADEMA,Joseph Mbilinyi a.k.a Mr II a.k.a Sugu akiwahutumia maelfu ya wakazi wa Mwanjelwa,Mkoani Mbeya hivi karibuni,hiyo ikiwa ni sehemu yake ya lala salama za kampeni ambazo zinaelekea ukingoni kwa hivi sasa.

No comments: