Tuesday, October 19, 2010

meli ya hospitali ya china yatia nanga dar,kutoa matibabu bure kesho.


MKUU wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, Meja Jenerali Salim Salim, akipewa zawadi maalu na Kamanda wa Meli ya China, yenye vifaa na madaktari wa kutoa huduma za matibabu,Bao Yuping, alipotembelea meli hiyo leo katika Bandari ya Dar es Salaam.
MGANGA Mkuu wa Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ya Lugalo, Meja Jenerali Salim Salim, akionyeshwa machine ya upimaji magonjwa ya moyo iliyomo katika meli ya China, alipotembelea meli hiyo leo, katika Bandari ya Dar es Salaam, ambako imetia nanga ikiwa na madaktari watakaotoa huduma ya matibabu kwa wagonjwa mbalimbali hapo kesho. Kushoto ni Kamanda wa meli hiyo, Bao Yuping na kulia ni Balozi wa China hapa nchini Liu Xinsheng.Kwa habari na picha zaidi kung'uta hapa.

No comments: