Tuesday, October 19, 2010

kampuni ya TCC YAFADHILI MAFUNZO YA MAOFISA WAANDAMIZI WA POLISI MAREKANI

Mkurugenzi wa Oparesheni wa Jeshi la Polisi, Kamishna Paul Chagonja (wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na maofisa watatu wa Jeshi la Polisi waliokabidhiwa tiketi na fedha za kujikimu ili kuweza kuhudhuria Mkutano wa Kimataifa wa Maofisa wa Polisi utakao fanyika Oktoba 22-28 mwaka huu katika mji wa Oralndo , Florida nchini Marekani.Wengine kutoka kushoto ni SACP.Jamal Rwambow, ACP, Renatus Mbushi,ASP.Emmanuel Mkilia na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Kampuni ya Sigara Tanzania, Paul Makanza aliyekabidhi udhamini huo. TCC imekuwa ikiwadhamini maafisa mbalimbali wa Jeshi la Polisi kuhudhuria mkutano huu tangu mwaka 2001.( Picha na Executive Solutions.)

No comments: