Wednesday, October 27, 2010

mahojiano live ya dr slaa ndani ya clouds fm leo asubuhi.


Mahojiano LIVE ya mgombea Urais kwa chama cha CHADEMA Dr Willbroad Slaa na Clouds FM kupitia kipindi cha Power Breakfast leo asubuhi ,wakati huo mgombea Urais kwa chama cha CCM,Dk Jakaya Kikwete anatarajiwa kufanya mdahalo na vyombo vya habari mbalimbali katika ukumbi wa Anatoglo siku ya ijumaa,jijini Dar,kuanzia saa mbili usiku mpaka saa nne usiku.Sauti hii kwa hisani ya Mdau Shelu.

No comments: