Monday, October 12, 2009


makazi mapya ya balozi wa eu dar
mdau akipandisha bendera kwenye makazi mapya wa balozi wa umoja wa nchi za ulaya (eu) nchini sehemu za masaki
balozi mkazi wa umoja wa ulaya (eu) nchini balozi tim clarke akiongea wakati wa uzinduzi wa makazi yake mapya sehemu za masaki jijini dar leo

wageni waalikwa kwenye hafla hiyo

wadau wa ofisi mbalimbali za nchi za ulaya

mdau richie swai (shoto) akiwa na wadau wengine kwenye ufunguzi huo

wadau wa eu wakijiandaa kuimba wimbo wa taifa

No comments: