Wednesday, October 7, 2009

Libeneke la Culture Heritage A-taun
Jengo jipya la ituo cha sanaa na utamaduni cha Culture Heritage jijini a-taun kwa ndani. ghorofa tatu zote ni sehemu ya kuoneshea kazi za sanaa na utamaduni
mgeni akipozi mbele ya kinyago cha kimakonde ambacho ni kikubwa kuliko vyote vilivyopata kuchongwa kutoka katika shina moja la mti
madhari ndani ya kituo hiki
wageni wakishangaa kinyago cha kimakonde
sehemu ya chini ya taswira ya ngao uionayo ukipita kwa nje

bustani murua zimezunguka kituo hiki
lango kuu lenye nakshi nakshi toka zenji
sanamu za mifugo na wanyama zimezagaa kile kona
sehemu ya ndani ya jengo la zamani

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha sanaa na utamaduni wa Mtanzania cha Culture Heritage, Saifudin Khanabahi, akiwatembeza wageni katika jengo jipya la kituo hicho lenye nafasi la mita za mraba zaidi ya 30,000 na litapofunguliwa kabla ya mwisho wa mwaka huu litakuwa ni kituo kikubwa cha sanaa na utamaduni wa Afrika bara zima, kama si dunia yote
jengo jipya la Culture Heritage lina mambo mengi mapya ikiwa ni pamoja na ukumbi wa kisasa wa sinema na maonesho ya jukwaani kwa ajili ya kuonesha utamaduni wetu kwa wageni










anko nanihii alitembelea kituo hicho











kituo kinavyoonekan kwa ndani

No comments: