Monday, February 23, 2009

taifa stars yalala 0-1 kwa senegal
sura za wadau zinajieleza huko abidjan usiku huu...
kidedea kililia hadi filimbi ya mwisho katika wanja la felix houphet boigny
mashabiki kibao walijitokeza kuipa taff taifa stars huko abidjan, wengine wakiwa wamesafiri na timu
bendera yetu ilipendezesha jukwaa la wabongo, ila ndo hivyo tena. gemu...
mpira umeisha na stars imelala 0-1 kwa senegal huko ivory caost katika mtanange wa CHAN. Pichani ni wadau wakifuatilia mechi hio ya taifa stars na senegal katika luninga kubwa iliyowekwa na tbc wakishirikiana na kampuni ya nova media katika viwanja vya bustani ya mnazi mmoja gaden usiku huu. february 25 taifa stars inakutana na wenyeji iliyopigwa 3-0 na zambia katika mechi ya ufunguzi

No comments: