Thursday, February 19, 2009

Davidson Kiwia na Vivian
Wanameremeta..

Mdau Davidson Kiwia kaachana na Club ya Ukapera na Kufunga pingu za Maisha na Kimwana Viviana Massawe kanisa la Kilutheri la Azania Front Jijini Dar es Salaam na kufwatia na sherehe la nguvu.kwa wadau mbalimbali mtakaopenda kudungwa picha za maaana kwenye harusi kama hizi wasiliana na Mdau Abdallah Mrisho kwa simu number 0713 839363 au Email:abbymrisho@gmail.com

No comments: