Saturday, February 28, 2009

CCM # 1

Wabongo bwana sasa hivi wanashangaa, Mzee makamba anazunguka nchini kutangaza chama chake baadae wataanza Ooh, wameiba kura, sijui nini. Haya cheki anavyokusanya vichwa usitokee uchaguzi kampeni za mwishoni ndio tutoe majibu ya kulalamika CCM wezi!

No comments: