Saturday, February 28, 2009

MAISHA YA MASHAKA

Mi nashindwa kuelewa wabongo tukoje, yaani mtu anakosa sehemu zote za kupumzika analala relini likija treni? baadae utasikia serikali mbovu kumbe mwenyewe fala! Hivi hawajui hili dude haligongi bali linagongwa?

No comments: