Saturday, February 28, 2009

STARS CHAN

Henry Joseph akifanya mambo siku walipocheza na Ivory Coast.
Nizar Khalfan akimkomalia muivory Coast siku ya mechi .
Stars sasa imenza kutisha baada yakuweka kandanda safi nakuinyuka Ivory Coast 1-0, sasa tunasubiri Zambia ambao wamekuwa wateja wetu kwamuda mrefu. Tutawamudu Aluta Contuinua!!!! Ni leo Hii tunacheza nao.

No comments: