Wednesday, February 18, 2009

MNASHANGAA?

Jamani muda mrefu mzee Mkapa alikuwa hajaonekana mitaani, hata Sumaye lakini kikubwa alichotuachia ni uwanja mpya wa taifa kumbe hata yeye alikuwa hajauona? Cheki anavyoshangaa!!! Watanzania badala wamwache mzee wa watu ale uzee vyema wanamletea fitna!

No comments: