Wednesday, August 12, 2009

mrisho mpoto aanzisha mjomba music band
msanii nguli wa mashairi mrisho mpoto ambaye ni maarufu kwa jina la 'mjomba'ameanzisha bendi itayoitwa jina hilo hilo - Mjomba music band. ameiambia globu ya jamii usiku huu wakati akitumbuiza kwenye ukumbi wa Nkrumah Hall chuo kikuu cha university of dar kwamba ana vijana 10 wa jinsia mbalimbali wanaounda kundi hilo lenye vionjo vyote vya muziki.
waimbaji wa mjomba music band wakiwa katika onesho lao la kwanza leo UDSM

muziki uliopokolea hakuna alieketi kitini
mjomba akishangiliwa kwa mambo yake mazito ya kuomba nauli waimba
tokomile, sindimba, bongo flava, sebene vyote unavipata Mjomba music band

mrisho mpoto akimtambulisha mwalimu wake wa shule ya msingi (shoto) na mjomba wake wa kwelikweli
mjomba music band katika picha ya pamoja

kwa mawasiliano na kundi hili piga namba
+255 754 987 838
au
+255 712 056 748
ama
mmpoto@yahoo.com



No comments: