Tuesday, August 4, 2009

moto kisiwani las palma wavunja safari ya FFU Hispania
The Ngoma Africa band
Bendi maarufu ya mziki wa dansi barani ulaya "The Ngoma Africa Band" juzi siku ijumaa 31.07.2009 walijikuta wakiishia uwanja wa ndege wa Bremen,huko Ujerumani baada ya idara ya usalama wa anga kutoruhusu ndege yeyote kuelekea katikia kisiwa cha "La Palmas" ambako bendi hiyo ilitegemewa kutumbuiza katika onyesho maalumu.

Kisiwa cha La Palma, kilichoko huko Hispania kimeshika moto na huduma zote za safiri wa ndege zimesimamishwa, na zimesababisha pia kutosafiri kwa bendi hiyo maarafu "The Ngoma Africa" aka FFU.

Ilikuwa wasafiri kwa ndege maalumu ya kukodi wamejikuta wapo uwanjani na HAKUNA SAFARI.

bendi hiyo ndiyo inayoongoza kwa kukamua na kuwatia kiwewe washabiki

bofya chini kusoma jarida la africa news uone mambozzzz.

entertainment/the-ngoma-africa-band-
continues-to-thrill-fans.html

1 comment:

Anonymous said...

Vichaa wa ngoma africa walitaka kupereka moto kwenye moto?