heka heka za kabla ya kuwasili kwa mwenge wa uhuru

Mbio za Mwenge wa uhuru zilikuwa kata ya Kawe jana jioni katika viwanja vya Tanganyika Pekaz,ambapo watu mbalimbali wakiwemo viongozi wa serikali walihudhuria mapokezi ya mwenge huo wa Uhuru uliokuwa umebeba kauli mbiu ya "pinga unyanyasasi wa jinsia,watoto na mauaji ya albino".Mwenge huo ulipokelewa mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mh Jordan Lugimbana.
No comments:
Post a Comment