tamasha la wahapahapa coco beach funika bovu
kiongozi wa kundi la Wahapahapa Paul Ndunguru aki-rap wakati mashabiki wakiwa wamevamia jukwa leo katika shoo kabambe ilofanyika coco beach, dar
coco beach palikuwa hapatoshi katika shoo ya wahapahapa
bob zungu akiwajibika na wahapahapa



No comments:
Post a Comment