Thursday, June 18, 2009

clouds 88.4FM wajitolea damu
kikosi cha wafanyakazi wa clouds 88.4 FM kilichojitolea damu mwishoni mwa wiki dar katika siku ya kuchangia damu duniani ambapo waandaji wa shughuli hiyo wamekishukuru sana kituo hicho kwa kujitolea damu pamoja na kupromoti vilivyo siku hii

No comments: