Thursday, June 18, 2009

barabara za iringa kuwa tambarare karibuni
Waziri Mkuu Mh Mizengo Pinda akipongezana na Balozi wa Denmark nchini,
Bjarne Sorensen baada ya kuweka jiwe la Msingi la ukarabati wa barabara ya TANZAM
sehemu ya Iyovi-Kitonga Gorge na Ikokoto –Iringa pamoja na barabra ya mchepuko ya
kuingia Iringa mjini zote zikiwa na urefu wa kilometa 149.6 katika sherehe
zilizofanyika Mazombe wilayani Kilolo Juni 14, 2009. Kulia ni Waziri wa
Miundombinu, Dr. Shukuru Kawambwa na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mohamed
Abdulaziz

No comments: