Sunday, June 14, 2009

libeneke jimboni vunjo
Wanakijiji wa kijiji cha Singi'si wilayani Arumeru wakibomoa nakuchukua mali za mmiliki wa shamba ambalo wanadai ni mali ya kijiji hicho na kufanya uhalifu mkubwa katika shamba hilo linadaiwa ni la mh. mbunge wa Vunjo mheshimiwa Kimaro.

hapa ni kama wamelifanyia plunning shamba la migomba ambalo liliangamizwa lote na wakaondoka na mikungu ya ndizi.pia katika vulugu hizo askari mmoja alijeruhiwa na kunyang'anywa bunduki ambayo hadi hivi sasa haijapatikana ila wahalifu wapo rumande kuisaidia polisi pia raia mmoja aliuawa katika vurugu hizo.

Mdau wa Vunjo

No comments: