libeneke jimboni vunjo
hapa ni kama wamelifanyia plunning shamba la migomba ambalo liliangamizwa lote na wakaondoka na mikungu ya ndizi.pia katika vulugu hizo askari mmoja alijeruhiwa na kunyang'anywa bunduki ambayo hadi hivi sasa haijapatikana ila wahalifu wapo rumande kuisaidia polisi pia raia mmoja aliuawa katika vurugu hizo.
Mdau wa Vunjo
No comments:
Post a Comment