Friday, June 19, 2009

The Ngoma Africa Band wakiwasha moto! Hannover,Ujerumani

The Ngoma Africa Band aka FFU ! aka wazee wa kukaanga mbuyu wakiwasha moto wa kimataifa na mdundo wao toka bongo


Mr.Buti Jiwe aka Galinoma.Jr.Mwanamziki wa Kizazi kipya cha muziki wa dansi,anaefanyia kazi nchini Uholanzi,alialikwa na bendi ya Ngoma Africa akiwa kama Guest Artst,Pichani akiwajibika katika jukwaa la kimataifa la masala Festival,mjini Hannover,Ujerumani


Ras Makunja baada ya kumaliza kazi akiongea na mwanamziki Sefu Rengwe mwanamziki bingwa wa kupuliza vyombo vya kupuliza trumpe aka tarumbeta aka midomo ya bata,pia anaimba Sefu Rengwe ni mwanamziki aliyetamba sana na bendi ya The TATU NANE enzi zile.kwa sasa anaiongoza bendi ya Reggae ya SIX NATION, ambayo nayo irishiriki katika maonyesho ya masala.Kumbe bongo inautajili wa wanamziki

No comments: