Sunday, June 14, 2009

hajra badru atamba miss mwanza

Mrembo Hajira Badru ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino) alishiriki mashindano ya miss mwanza yaliyofanyika uwanja wa ccm kirumba na kutamba hadi kuchukua nafasi ya sita. Mrembo mwingine ambaye pia albino, Grace, alijitoa baada ya kukabiliwa na shinikizo la masomo chuoni SAUT
Mrembo huyo alishangiliwa na umati wa watu kila alipojitokeza jukwaani katika mavazi mbalimbali kama picha zinavyonyesha. Habari kamili na picha zaidi tembelea www.florasalon.blogspot.com

No comments: