Na mtu huyu anadai kuwa yuko mbioni kuanzisha kanisa
haya utayakuta kwa dada j dee.
Hii ni barabara ya Nyerere Road Banda la ngozi,hali si shwari
maeneo hayo kwani barabara imefunikwa na maji haionekani
hata kidogo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini.
Hii ndio hali halisi ya barabara ya Nyerere Road kuelekea Airport
,mvua hizi husababisha baadhi bya magari kuzimika katikati ya
barabara kutokana na wingi wa maji...Lakini nani wakulaumiwa
kama sio TANROADS kuwa na miundo mbinu mibovu wakati
barabara hizi zinapojengwa?
SERIKALI ya Cuba imeanza kufuatilia utekelezaji wa ahadi yake iliyotoa kwa serikali ya Tanzania kuhusu ujenzi wa kiwanda cha madawa nchini.
Akizungumza na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, Mkurugenzi wa maabara ya kibaiolojia na dawa ya Cuba, Dk. Jose Antonio Fraga Castro amesema wamepanga programu ya ujenzi wa kiwanda hicho ifanyike katika kipindi cha miaka miwili hadi miwili na nusu.
Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana, Dk Castro alieleza kuwa ujenzi wa kiwanda hicho ni kuitikia mwito wa Rais Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais walipotembelea maabara ya Labiofam kwa nyakati tofauti nchini Cuba ambapo waliomba Cuba isaidie jitihada za kudhibiti malaria nchini.
Alisema kiwanda hicho kitatengeneza dawa kwa kutumia njia za kibiolojia bila ya kutumia dawa za kemikali ambazo mara nyingi huharibu mazingira.
Alisema pamoja na kutengeneza dawa ya kudhibiti malaria kiwanda hicho kitatengeza pia dawa za chanjo kwa wanyama pamoja matumizi ya tekinolojia ya kisasa katika kilimo na kufanya shughuli za utafiti.
Dk. Castro alisema wakati mchakato wa kujenga kiwanda hicho ukiwa mbioni wataanza haraka iwezekanavyo na mradi wa majaribio wa kuangamiza mazalio ya mbu kwa kutumia dawa hiyo isiyo na kemikali kwa mkoa wa Dar es salaam.
Kwa upande wake Makamu wa Rais alimueleza Mkurugenzi huyo kuwa serikali ya Tanzania imedhamiria kutokomeza malaria na mwezi mmoja uliopita Rais Kikwete alizindua mradi mkubwa wa malaria wenye kauli mbiu ‘malaria haikubaliki’.
Wakati huo huo, Makamu wa Rais alikutana na Balozi wa Afrika Kusini nchini Phanduyise Henry Chiliza ambapo walizungumzia kwa ujumla changamoto za kiuchumi katika bara la Afrika.
Unajua leo Chidi Beenz pamoja na Pipi leo wanasherekea sikuku ya kuzaliwa. Tunawatakia sikukuu njema na waendelee kufanikiwa katika maisha yao na kutuletea burudani kama hizi watupazo . |
--------------------------
SEACOM explains prolonged downtime
SEACOM experienced an interruption in its service on 14 April 2010 which lasted around seven minutes as a result of a fault on the Mediterranean section of the SEA-ME-WE 4 submarine cable system, which SEACOM currently utilizes to connect to London.
SEA-ME-WE 4, which stretches from South East Asia to Europe via the Indian Sub-Continent and Middle East, was initially scheduled to undergo repairs to fix the affected fibre pair in the Mediterranean Sea on Saturday 17 April 2010 but this was subsequently rescheduled to Saturday 24 April 2010.
However, due to ongoing maintenance activity on another cable network servicing Africa and poor weather in the Mediterranean Sea, the actual work only began on Sunday 25 April 2010 resulting in the SEACOM service experiencing interruptions from around mid-day on Sunday.
The ongoing repair work is affecting several cable systems and has impacted negatively on the overall Internet connectivity in many regions across the Middle East, Africa and Asia, which rely to some extent on the availability of the SEA-ME-WE 4 cable for global connectivity.
Operators that have opted to work with SEACOM to find alternative channels have been routed to an Internet Access point in India to maintain service. The repair work is managed and controlled by SEA-ME-WE 4 who has indicated that the repair window may be extended to Friday 30 April 2010 for reasons unknown to SEACOM at this point.
SEACOM will continue to provide updates as more information becomes available.
CLICK HERE FOR SOURCE
Dear All,
this much is true..........
"It all started when I received a call from someone claiming that he was
from Safaricom
and he asked me to shutdown my phone for 2 hours for 3g update to take
place. As I
was rushing for a meeting, I did not question and turned off my cell phone.
After 45 minutes I felt very suspicious since the caller did not even
introduce his name. I quickly turned on my cell phone and I received several
calls from my family members and the others were from the number
that had called me earlier - 3954380.
I called my parents and I was shocked that they sounded very worried asking
me whether I am safe.
My parents told me that they had received a call from someone claiming that
they had me with
them and asking for money to let me free. The call seemed so real and my
parents were certain they heard
'My voice' crying out loud asking for help.
My father was at the bank waiting for further instructions about the money
transfer.
I told my parents that I am safe and asked them to lodge a police report.
Right after that I received another call from the guy asking me to shutdown
my cell phone for
another 1 hour which I refused to do and hung up. They keep calling my cell phone. I have lodged a complaint with the police and I was
informed by the officer that there were many reports of similar scams. MOST
of the cases
reported that the victim had already transferred the money!
And of course it is impossible to get back the money.
Be careful as this kind of scam could happen to any of us!!!
These guys are so professional and very convincing during calls. If you are
asked to
shut down your cell phone for updates by the service provider, do not do so!
The service providers will hopefully place adverts to that effect in the
media...
Be Safe and Stay Alert!
Please pass around to your family and friends!
Have a good one....