Tuesday, November 24, 2009

Nipe Pesa Zangu..



Mfanyakazi wa Kampuni ya kuegesha magari nchini TPS) akimkunja kijana anayeshughulika na kuegesha magari katika mtaa wa Samora,walikuwa wakigombania fedha ambazo inasemekana kuwa kijana huyo alichukua kutoka kwa mteja aliyeegesha gari lake mahala hapo.Picha na Evance Ng’ingo

No comments: