Tuesday, November 24, 2009

Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania.



Mtoto wa mtaani akiwa amechapa usingizi katika nguzo ya taa ya barabarani iliyoanguka katika barabara ya Bibi Titi Mohammed jijini Dar es Salaam bila kujali usalama wake kutokana magari kupita karibu yake. Picha na Fidelis Felix

No comments: