Saturday, September 11, 2010
Thursday, September 9, 2010
HII SASA SAFI…..!!!!
Askari wa usalama barabarani wakiwa wametapaka maeneo ya mkabala na jengo la IPS kuhakikisha magari yaliyoegeshwa maeneo yasiyo rasmi kuondolewa.
***********************
Katika pitapita ya kuangalia jinsi hali ya foleni katika maeneo mbalimbali inasababishwa na nini leo asubuhi katika jiji la Dar es Salaam maeneo ya Posta karibu na Keep left cha askari monument imekutana na wingi wa askari wa usalama barabarani wakijaribu kuondoa magari katika maeneo yasiyo ya parking za magari.
Tukio hilo limefanyika kwa mda mchache tu na baadaye kuonyesha kuwa uwekaji holela wa magari husababisha foleni katika maeneo mbalimbali.
Lakini hii isiwe ni katikati ya jiji tu hata pembezoni mwa jiji itumike na ikiwezekana kila anayeingia na gari katikati ya mji awe analipia kiasi cha 20,000Tsh itakayosaidia kupunguza msongamano wa magari katikati ya mji na hata kwenye barabara zetu.
Askari wa usalama barabarani akijaribu kuita magari yaliyosabanisha foleni kabla ya zoezi zima la kundoa magari yaliyoegeshwa maeneo yasiyo rasmi.
Wafanyakazi wa gari aina ya Break down wakishughulika kwa kasi kutekeleza wajibu wao wa kuondoa magari yaliyoegeshwa sehemu zisizo rasmi kama amri ya askari.
Gari aina ya Prado lennye namba za Usajili T 728 AQQ likiondolewa na break down,lakini sisi hatujui linakoelekea….!!!
BAADA YA KUTOKA NJE YA NDOA ,ROONEY USO KWA USO NA MKEWE…!!
Dunia ya mke wa mchezaji mpira maarufu wa uingreza na timu ya Man utd Wayne Rooney imekuwa chungu ndani ya siku tatu ni baada ya habari kuvuja kwenye magazeti zikimuumbua mumewe kufanya mapenzi nje ya ndoa wakati mkewe akiwa mjamzito.
Mwanamama huyo Coleen (24) hivi karibuni ndio amejitokeza hadharani na kusema amepanga kukutana na mumewe huyo siku atakayorudi toka Switzerland ambapo alienda kwa ajili ya mechi dhidi ya timu ya taifa hilo iliamweleze vizuri. Kwa sasa mwanamama huyo anakaa kwa wazazi wake
Blog team: Mwaka huu umekuwa mbaya kwa watu maarufu wengi kuachana na wake zao au kutoka nje ya ndoa zao. Kwa uchache nia hawa hapa. Tiger woods, Swizz Beats, T.I, Frank Lampard, Peter Crouch,
IMAGE OF THE DAY – ANGELINA JOLIE (Huruma ni Asili yangu)…!!!
Tofauti na sinema anazochezaga ambazo huonekana kama si mwenye huruma. Hapa mwana mama huyo akiwa huko nchini Pakistani alipoenda kuwatembelea waathirika wa maafa ya mafuriko. Tunadhani anaweza hata kuasili mtoto na kwenda kuishi nae.
Tuesday, September 7, 2010
Power Skills That Build Strong Relationships
Young Man: Sir, may I know the time, please?
Old Man: Certainly not.
Young Man: Sir, but why? What are you going to lose,if
You tell me the time?
Old Man: Yes, I may lose something if I tell you the time.
Young Man: But Sir, can you tell me how?
Old Man: See, if I tell you the time you will definitely thank me and may
be tomorrow again you will ask me the time.
Young Man: Quite possible.
Old Man: May be we meet two three times more and you will ask my name and address.
Young Man: Quite possible.
Old Man: Oneday you may come to my house saying you were just passing by and cameinto wish me. Then as a courtsey, I will offer you a cup of tea. Aftermy courteous approach you will try to come again.This time you willappreciate tea and ask who has made it.?
Young Man: Possible
Old Man: ThenI will tell you that my daughter has and I will then have to introducemy young and pretty daughter to you & you will admire my daughter.
Young Man: Smiles.
Old Man: Nowonwards you will try to meet my daughter again and again. You willoffer her to go out for a movie together and a date with you.
Young Man: Smiles
Old Man: Mydaughter may start liking you and start waiting for you. After meetingregularly you will fall in love with her and propose her for marriage.
Young Man: Smiles
Old Man: One day both of you will come to me and tell me about your love and ask for my permission.
Young Man: Oh Yes! And smiles
Old Man: (Angrily) Young man, I will never marry my daughter to a person like you who does not even own a watch.
Monday, September 6, 2010
Nyaya na nguzo za umeme zikiwa zimekata denge kuepuka kupita juu ya makaburi yaliyo kando ya barabara kuu kilomita chache toka Iringa ukitokea Mbeya. Kuna hadithi zinasema Tanesco walishindwa kupitisha nyaya hizo juu ya hayo makaburi kwa sababu ambazo awali hazikuwa zinafahamika. Kuna hadithi zingine pia zilidai kwamba ukipiga picha hapo huwa hazitoki
Makaburi hayo kama yanavyoonekana yakiwa kandoni mwa barabara
Katika pitapita zake ankal alibahatika kuwakuta mafundi wa Tanesco wakiwa kazini karibu na eneo hilo. aliposimama na kuwauliza, na baada ya kusitasita kidogo, mmoja wa mafundi hao alijitolea kwa kumwambia ankal kwamba waliepa kupitisha nyaya hizo juu ya makaburi hayo kuepuka gharama ambayo wangepata bila shaka kwa kulipa fidia katika kuyahamisha. Bahati mbaya hapakuwa na mkaazi wa eneo hilo ili kutoa ufafanuzi. Hivyo kama kuna mdau mwenye data tunaomba msaada tutani ili wadau wapate mwanga halisi wa maajabu haya...