Monday, September 20, 2010

Wednesday, September 15, 2010

taarifa ya kukosekana kwa maji jijini dar

DAWASCO inawatangazia wateja wake katika baadhi ya maeneo kwamba,kutakuwa na zoezi la kubadilisha Valve katika Matenki ya Terminal yaliyopo maeneo ya Chuo Kikuu.

TAREHE; 17 -18 /09/ 2010.

MUDA ;Siku mbili (2)

SABABU; Ubadilishwaji wa valve zilizochakaa na kuweka mpya.

MAENEO YATAKAYOATHIRIKA; Ni pamoja na chuo cha ardhi, chuo kikuu cha Dar es Salaam,Lugalo(sehemu ya jeshi) Mlimani City,Mlalakua,(Survey) Coka cola,Sinza,eneo la Sam Nujoma, sehemu ya Ubungo,(NHC) Mabibo,Kigogo,Buguruni pamoja na maeneo ya jirani.

DAWASCO inawaomba wananchi wa maeneo hayo yaliotajwa kuhifadhi maji kwa ajili ya matumizi katika kipindi hicho ambacho matengenezo yatakua yanaendelea na hivyo kusababisha upungufu wa maji kwa muda wa siku hizo mbili.

Huduma ya maji itarejea katika hali yake ya kawaida baada ya muda huo.

DAWASCO inawaomba radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.

Isaidie DAWASCO kwa kutoa taarifa za uvujaji na kwa kulipa bili yako ya maji kila mwezi ili iweze kutoa huduma bora jijini.

DAWASCO

Tutakufikia.

Imetolewa na Ofisi ya Uhusiano
DAWASCO
Simu:0762979627

Tuesday, September 14, 2010

Leseni mpya za udereva wa magari kuzinduliwa kesho
Mkurugenzi wa huduma kwa mlipa kodi, Mamlaka ya Mapato (TRA), Protas Mmanda, akionyesha mfano wa leseni mpya za udereva, makao makuu ya TRA jijini Dar. Shoto ni Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Polisi wa usalama barabarani, Johansen Kahatano. Habari na www.wavuti.com
Picha na Chachandu Daily blog.


Mamlaka ya mapato Tanzania, TRA, kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi nchini wameanza utekelezaji wa mfumo mpya wa utoaji leseni za udereva wa vyombo vya moto kwa lengo la kudhibiti ajali za barabarani na utoaji holela wa leseni na kudhibiti mapato ya Serikali.

Kadhalika, Afisa Mnadhimu wa Kikosi cha Polisi wa Usalama Barabarani, Johansen Katahano, amesema kuwa madaraja ya leseni hizo yameongezwa kutoka 8 hadi 14. Madaraja hayo yameongezwa katika daraja A na C na yameongezwa kutokanana na uwezo wa vyombo vya moto vya madaraja husika na idadi ya abiria watakaobebwa na vyombo hivyo.

Uzinduzi wa matumizi wa leseni hiyo yatafanyika
kesho Jumatano jijini Dar.

Leseni hizo mpya zitakuwa na uwezo wa kutunza kumbukumbu za kielektroniki za mtumiaji ikiwemo idadi ya makosa aliyoyafanya akiendesha chombo cha moto, gari na pikipiki.

Leseni hizi mpya zitahitimisha matumizi ya leseni za zamani.

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa mlipa kodi wa TRA, Protas Mmanda amewataka madereva wanaotumia leseni zao za kawaida kutokuwa na wasiwasi kwani kwa muda huu wataendelea kutumia leseni hizo kihalali na watapewa leseni mpya watakapokuwa wanakwenda kwa ajili ya kuzihaishi. Watu wenye leseni za Daraja C wataanza kupata leseni hizo mara moja lakini watahitajika kupata mafunzo maalumu kwanza.




Monday, September 13, 2010


Drinking water at the correct time
maximizes its effectiveness on the Human body:

2 glasses of water after waking up - helps activate internal organs


1 glass of water 30 minutes before a meal - helps digestion

1 glass of water before taking a bath - helps lower blood pressure

1 glass of water before going to bed - avoids stroke or heart attack


...Join Keralites, Have fun & be Informed.

VODACOM MISS TANZANIA YAFIKIA TAMATI….!!!

Toka habari zianze kurindima katika vyombo vya habari nchini yapata mwezi sasa na tumekuwa tukiwaona katika shughuli mbalimbali za kijamii hatimaye kiu ya wapenzi wa shindano hili ilikidhiwa usiku wa kuamkia tahere 12/9/2010 katika viwanja vya Mlimani City ndani ya wilaya ya Kinondoni.

Mshindi toka Wilaya ya Temeke Genevieve Emmanuel Bila ya kuamini masikio yake alitajwa kuwa mrithi na mmliki mpya wa taji la Miss Tanzania 2010.

Usiku huo kila kitu kilikuwa katika mpangilio ambao ulidhihirisha ukomavu wetu katika kutayarisha matukio makubwa. Umati mkubwa wa wageni mbalimbali toka nchi tofauti ulikuwa mashahidi wakuu ndani usiku huo kama hukubahatika kushuhudia usisikitike sana na kama ujuavyo asili yetu tunakuletea yote yaliyojiri katika picha zenye ubora wa hali ya juu..

Karibuni Sana..!

Vodacom Miss Tanzania 2010 Genevieve Emmanuel (katikati) akiwa na washindi wenzake mara baada ya kutangazwa mshindi kwenye shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi (kulia) ni mshindi wa tatu Consolata Lukosi na (kushoto) ni mshindi wa pili Glory Mwanga.

Warembo walioshiriki kwenye shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010 wakitoa shoo kwa wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa utambulisho.

Baadhi ya majaji wakifuatilia shindano kwa ukaribu sana.

My world running low…!!! ni maneno ya Mwanadada Wahu kutoka nchini Kenya(kulia) akiimba sambamba na Mwanamuziki Chege Chigunda(katikati) huku wakipewa Back Up na Mh. Temba wakati wa Onyesho la Vodacom Miss Tanzania likiendelea.

Washiriki wakipita jukwaani Kujitambulisha kwa wageni waalikwa na kunadi sera zao.

Vijana wa THT wakitoa burudani kwa wageni waliofika kushuhudia Onyesho hilo.

Washiriki wa Vodacom Miss Tanzania 2010 wakiwa jukwaani na Vazi la Ufukweni.

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh. William Lukuvi (mwenye miwani) akifuatilia kwa umakini shindano la Vodacom Miss Tanzania 2010.

Washiriki wa Vodacom Miss Tanzania 2010 wakipita kwa pamoja jukwaani na Vazi la Jioni.

Washiriki waliofanikiwa kuingia kwenye 10 bora za Vodacom Miss Tanzania 2010.

Hawa ndio 5 bora za Vodacom Miss Tanzania 2010.

Wadau mbalimbali wakifuarilia Shindano la Vodacom Miss Tanzania kwa umakini zaidi.

Mzee wa Commercial AY akitoa mchango wake kwenye Vodacom Miss Tanzania 2010.

Shukrani za dhati na Mo Blog.

Nokia C1-00 Dual SIM Mobile Price & Specs

World’s leading mobile handset maker company NOKIA announced three new mobile model of C-Series, including Nokia C1-00 today. The New C1 mobile Nokia’s first dual SIM mobile phone with very low-cost. Nokia C1-00 Mobile supports two SIM cards. The user can switch from one SIM to another SIM by simply holding down a button.This facility is very helpful while traveling in different countries and user can take the advantage of low call rates. The C1-00 offers the most affordable price of Rs. 2000 (approx) for Indian market.

The new mobile Nokia C1-00 comes with beautiful color display, FM Radio and Standard 3.5mm Headphone Jack. This new Nokia mobile’s especially useful thing is a flashlight and its very powerful. Nokia C1 will be available in four different cool colors like Red, Light Gray, Light Blue and Sea Green. You can use MP3 songs as ring tones in C1-00 mobile.

Nokia C1-00 Pictures

Nokia C1-00 mobile comes with powerful Li-Ion 1020 mAh battery and it’s the longest battery life. The C1-00 offers 13 hrs. of talk time and six week’s standby time. You can find here Nokia C1-00 Mobile phone full technical specifications, features, pictures and price.

Nokia C1-00 Dual SIM Mobile Features And Technical Specification:

  • Dual Sim (GSM+GSM)
  • GSM 900 / 1800 – SIM 1
  • GSM 900 / 1800 – SIM 2
  • Network: 2G
  • Dimensions: 107.1 x 45 x 15 mm
  • Symbian Series 30 Platform
  • 128 x 160 pixels screen resolution
  • 1.8 inch TFT 65k Color Display
  • FM Radio
  • Torch Light
  • 3.5mm Audio Connector
  • SMS
  • Vibration, MP3 ringtones
  • 500 PhoneBook Memory
  • Battery: Li-Ion 1020 mAh
  • Talk time: up to 13 hours
  • Weight: 72.9 gm
  • Colors: Medium Blue, Red, Light Gray, Sea Green

Nokia C1-00 Price in India: Approx Rs. 2,000

Nokia C1 Mobile Phone Pictures & Photos

Nokia C1-00 Photos
Nokia C1-00 Phone pics

Nokia C1-00 Mobile Photos

Tags: , , ,

Sunday, September 12, 2010

Amazing Facts About Onion


We read about the Amazing Cucumber.

Now let us read about the Amazing Onion.

It is not Vege Tales... But Facts.

Wish I knew this earlier !!

A friend of mine told me a story about when he was a kid he was in the hospital & nearly dying. His grandmother came to the hospital & told a family member to go buy her a large onion & a new pair of white cotton socks. She sliced the onion open then put a slice on the bottom of each of his feet & put the white cotton socks on him. In the morning when he awoke they removed the socks. The slices of onion were black & his fever was gone. The following story that someone sent to me might have some truth in it & we are going to try it this winter.

In 1919 when the flu killed 40 million people there was this Doctor that visited the many farmers to see if he could help them combat the flu. Many of the farmers and their family had contracted it and many died.

The doctor came upon this one farmer and to his surprise, everyone was very healthy. When the doctor asked what the farmer was doing that was different the wife replied that she had placed an unpeeled onion in a dish in the rooms of the home, (probably only two rooms back then). The doctor couldn't believe it and asked if he could have one of the onions and place it under the microscope. She gave him one and when he did this, he did find the flu virus in the onion. It obviously absorbed the bacteria, therefore, keeping the family healthy.

Now, I heard this story from my hairdresser in AZ. She said that several years ago many of her employees were coming down with the flu and so were many of her customers. The next year she placed several bowls with onions around in her shop. To her surprise, none of her staff got sick. It must work.. (And no, she is not in the onion business.)

The moral of the story is, buy some onions and place them in bowls around your home. If you work at a desk, place one or two in your office or under your desk or even on top somewhere. Try it and see what happens. We did it last year and we never got the flu.


For flu cure:

Cut both ends off an onion put one end on a fork and then place the forked end into an empty jar... Placing the jar next to the sick patient at night. It said the onion would be black in the morning from the germs... Sure enough it happened just like that... The onion was a mess and I began to feel better.

Onions and garlic placed around the room saved many from the black plague years ago. They have powerful antibacterial, antiseptic properties.

One more thing, never store cut onions and consume the next day.





How to keep a woman happy.... Priceless!


It's not difficult to make a woman happy. A man only needs to be:

1. A friend
2. A companion
3. A lover
4. A brother
5. A father
6. A master
7. A chef
8. An electrician
9. A carpenter
10. A plumber
11. A mechanic
12. A decorator
13. A stylist
14. A sexologist
15. A gynaecologist
16. A psychologist
17. A pest exterminator
18. A psychiatrist
19. A healer
20. A good listener
21. An organizer
22. A good father
23. Very clean
24. Sympathetic
25. Athletic
26. Warm
27. Attentive
28. Gallant
29. Intelligent
30. Funny
31. Creative
32. Tender
33. Strong
34. Understanding
35. Tolerant
36. Prudent
37. Ambitious
38. Capable
39. Courageous
40. Determined
41. True
42. Dependable
43. Passionate
44. Compassionate

WITHOUT FORGETTING TO:

45. Give her compliments regularly
46. Love shopping
47. Be honest
48.
Be very rich
49. Not stress her out
50.
Not look at other girls

AND AT THE SAME TIME, YOU MUST ALSO:

51. Give her lots of attention, but expect little yourself
52.
Give her lots of time, especially time for herself
53. Give her lots of space, never worrying about where she goes

IT IS VERY IMPORTANT:

54. Never to forget:
* birthdays
* anniversaries
* arrangements she makes



HOW TO MAKE A MAN HAPPY

1. Leave him alone

1. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say: "I am very rich. "Marry me!" - That's ''Direct Marketing"
2. You're at a party with a bunch of friends and see a gorgeous girl. One of your friends goes up to her and pointing at you says: "He's very rich. "Marry him." -That's Advertising"
3. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and get her telephone number. The next day, you call and say: "Hi, I'm very rich. "Marry me - That's Telemarketing"
4. You're at a party and see gorgeous girl. You get up and straighten your tie, you walk up to her and pour her a drink, you open the door (of the car) for her, pick up her bag after she drops it, offer her ride and then say:

"By the way, I'm rich. Will you "Marry Me?" - That's Public Relations
5. You're at a party and see gorgeous girl. She walks up to you and says:"You are very rich! "Can you marry ! me?" - That's Brand Recognition
6. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say: "I am very rich. Marry me!" She gives you a nice hard slap on your face. - "That's Customer Feedback"
7. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and say: "I am very rich. Marry me!" And she introduces you to her husband. - "That's demand and supply gap"
8. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and before you say anything, another person come and tell her: "I'm rich. Will you marry me?" and she

goes with him - "That's competition eating into your market share"
9. You see a gorgeous girl at a party. You go up to her and before you say: "I'm rich, Marry me!" your wife arrives. - "That's restriction for entering new markets"
Regards to All
Chetan Sanil

Saturday, September 11, 2010

Know the ABC of Yoga



· Meditation: Meditation or dhyana makes the mind calm, and improves our mental faculties - thoughts, emotions, and memory etc. Harmony and balance is restored in the various psycho-physiological functions of the body. This brings in a feeling of love, compassion, friendship, sharing, and other positive changes in our attitude and behavior.

Beginners often confine yoga to an hour's practice of asana and prayanama generally done in the morning, and forget its relevance for the rest of the day. But as we continue our regular practice for a few months, our awareness about the environment, and ourselves increases, and we learn to apply the skills learnt from yogic practices throughout the day. Then yoga becomes a way of life, not a mere practice. If you undertake yoga in this spirit, you will find that yoga not only gives you relief from your problems, but also opens up new ways of enjoying your life. The Animal-man transcends to Man-man, Super-man and finally the Divine-man.