Tuesday, September 8, 2009

RAMADHAN KAREEM
Leo ni Ramadhani 18

Ninawatakia wadau Waislamu wote Mfungo Mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

By
Kadidi2
misemo ya kwenye jamii.

Msemo "Ukichokoza siafu andaa nyasi kavu"

Kutoka kwa mdau namba moja wa blog hii.
manyota
Asante sana
Ruksa kuacha comment.

Monday, September 7, 2009

elephant attacks silicon valley billionaire in serengeti
Siebel Systems CEO Tom Siebel at his office in San Mateo

Tech mogul injured by elephant in Serengeti

Today he's home in Woodside, recuperating from serious injuries. A little more than a month ago, Silicon Valley billionaire Tom Siebel was in the Serengeti, where a charging elephant attacked him and a guide.

"It was all happening so fast. There was no place to hide, no place to run," the 56-year-old Siebel, founder of the Siebel Systems software company, told the Mercury News in an exclusive interview Wednesday.

The elephant plowed into the guide and then turned on Siebel, breaking several ribs, goring him in the left leg and crushing the right. Siebel said they were able to radio for help only after the animal lost interest and wandered away, but it was three hours before he received any medical treatment.

Siebel sold his business to Oracle four years ago and now divides his time between his Woodside home, an office in Palo Alto and a ranch in Montana, where he raises cattle and competes in team roping events. He said he was on a photo safari in Tanzania last month when the elephant attacked without warning.

Early on the morning of Aug. 1, Siebel said, he and a guide went to a watering hole, where they hoped to observe a variety of game that were known to gather in the quiet early morning hours. They were watching a group of elephants from 200 yards away — "keeping a respectful distance," Siebel said — when one turned and without warning began to charge.
For source and more on the story
cheka jamani !!!
Mtalii na mtafsiri wake hotelini
Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao. Mtafsiri: They don't cook any type of snacks here, maybe you can go back and eat at home. Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here, I think this man is crazy, he want to call the police!
kp na Busara zake !!!!


Yesu Mpya Aibuka nchini Urusi, Ana Maelfu ya Wafuasi

Kaka kadidi,Kuna habari hii tungependa

tushee na wadau wa blogu ya Inawezekana.
===================================
Yesu Mpya Aibuka nchini Urusi,
Ana Maelfu ya Wafuasi

Jamaa mmoja wa nchini Urusi amejitangaza kuwa yeye ni Yesu mtoto wa Mungu na amejipatia wafuasi wengi sana nchini humo wanaoamini kuwa yeye kweli ni Yesu.
Akifuga madevu na nywele ndefu, Yesu wa Urusi huzungukwa na wafuasi wake kila anapoenda na amefanikiwa kujikusanyia wafuasi wengi nchini humo na baadhi ya nchi za ulaya.
Yesu huyo mpya anayeitwa Sergei Torop mwenye umri wa miaka 48, awali alikuwa akifanya kazi kama trafiki polisi kabla ya kuachishwa kazi na baadae kudai kuwa mungu amemtuma kuwaokoa watu.
Torop amefanikiwa kujikusanyia wafuasi wengi zaidi ya 5,000 wakiwemo wasomi wakubwa nchini Urusi, wasanii na baadhi ya wanasiasa ambao humiminika kwenye kijiji chake cha Petropavlovka kilichopo maili 200 kutoka mji mkuu wa Urusi Moscow kwa nia ya kumuabudu.
Si ajabu ukipita kwenye kijiji hicho na kukuta watu wamepiga magoti mbele ya picha yake wakisali.
kwa habari kamili link ni hii:
http://www.nifahamishe.com/
NewsDetails.aspx?NewsId=2981654&&Cat=2
============================================
Thanks

Nifahamishe.com
mwanamama asaula mbele ya ubalozi wa ufaransa dar
wasamaria wema wakimzong mwanamama na mwanae ambaye aliamua kusaula nguo na kubaki na nanihii tu kwenye geti la ubalozi wa ufaransa mchana huu. haikujulikana mara moja sababu za yeye kufanya hivyo ila walinzi wa ubalozi walisema hawamtambui na wala hakuwa ameenda ubalozini hapo. walinzi walisema walimuona amesimama mbele ya geti akiwa kama anataka kuvuka, ghafla akambwaga mtoto chini na kuanza kusaula huku akisema maneno yasiyoeleweka. askari polisi waliitwa mara moja na kumchukua

Mkutano mkuu CHADEMA wafana
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wakiwa kikaoni jana ambapo Mwenyekiti wake Mh. Freeman Mbowe aliendelea kupeta kama kinara wa chama huku Dk. Wilbroad Slaa akirejea kwenye kiti chake cha Katibu Mkuu huku Mh. Zitto Kabwe akiteuliwa na mwenyekiti wake kuwa Naibu Katibu Mkuu bara wakati Naibu katibu mkuu wa chama hicho visiwani ni Mh. Issa Yusuf.

JK AFUNGUA MAZOEZI YA PAMOJA YA MAJESHI YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
akiipeperusha bendera ya Umoja wa jumuiya ya Afrika mashariki kuashiria kuzindua rasmi mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya nchi za jumiya hiyo huko Monduli, Mkoani Arusha jana asubuhi.
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akimwonyesha Amiri Jeshi mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete maeneo ya makao makuu ambapo Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya nchi za Afrika Mashariki yanafanyika wakati Rais alipofungua rasmi mazoezi hayo huko Monduli,Mkoani Arusha jana.Kulia ni Kamanda wa Kamandi ya majeshi ya nchi Kavu Meja jenerali Winjoynes Kisamba.

Baadhi ya makamanda waandamizi wa majeshi ya nchi za Afrika Mashariki wakiomwonesha Amiri jeshi mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete uwanja na maeneo ya Mazoezi ya pamoja kutoka katika kilima cha Nodosoito huko monduli mkoani Arusha jana asubuhi.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu


JK AFUNGUA MAZOEZI YA PAMOJA YA MAJESHI YA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
akiipeperusha bendera ya Umoja wa jumuiya ya Afrika mashariki kuashiria kuzindua rasmi mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya nchi za jumiya hiyo huko Monduli, Mkoani Arusha jana asubuhi.
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akimwonyesha Amiri Jeshi mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete maeneo ya makao makuu ambapo Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya nchi za Afrika Mashariki yanafanyika wakati Rais alipofungua rasmi mazoezi hayo huko Monduli,Mkoani Arusha jana.Kulia ni Kamanda wa Kamandi ya majeshi ya nchi Kavu Meja jenerali Winjoynes Kisamba.

Baadhi ya makamanda waandamizi wa majeshi ya nchi za Afrika Mashariki wakiomwonesha Amiri jeshi mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete uwanja na maeneo ya Mazoezi ya pamoja kutoka katika kilima cha Nodosoito huko monduli mkoani Arusha jana asubuhi.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu