RAMADHAN KAREEM
Leo ni Ramadhani 18
Leo ni Ramadhani 18
By
Kadidi2
Kadidi2
Siebel Systems CEO Tom Siebel at his office in San Mateo
wasamaria wema wakimzong mwanamama na mwanae ambaye aliamua kusaula nguo na kubaki na nanihii tu kwenye geti la ubalozi wa ufaransa mchana huu. haikujulikana mara moja sababu za yeye kufanya hivyo ila walinzi wa ubalozi walisema hawamtambui na wala hakuwa ameenda ubalozini hapo. walinzi walisema walimuona amesimama mbele ya geti akiwa kama anataka kuvuka, ghafla akambwaga mtoto chini na kuanza kusaula huku akisema maneno yasiyoeleweka. askari polisi waliitwa mara moja na kumchukua