Saturday, September 12, 2009

Mtoto wa Mwaka Mmoja Mwenye Mimba
Madaktari nchini China walipigwa na butwaa baada ya kugundua kuwa Kang Mengru, mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja ambaye alipelekwa hospitali baada ya tumbo lake kuzidi kuwa kubwa, alikuwa na mimba ya kichanga kingine.Baada ya mtoto huyo kufanyiwa ultrasound, madaktari waligundua kuwa mtoto huyo wa kike alikuwa amebeba kitoto kichanga kwenye tumbo lake ambacho kilikuwa kikiendelea kukua.
Mtoto Kang Mengru na mama yake.

Mtoto Kang Mengru na baba yake

No comments: