Saturday, September 26, 2009

Kibaka wa Blackberry anaswa mayfair plaza leo
Kaka mambo vipi, mrushe huyu jamaa amekamatwa akiiba simu aina ya BlackBerry 8310 katika duka la moja Mayfair Plaza jijini Dar mchana huu. Kasema anaitwa Joseph Mbuya Mkazi wa Mikocheni A. Hapa akiwa chini ya ulizi mkali kuepusha wadau wenye hasira kali wasimfanyizie…!
Mdau DH

No comments: