Monday, September 7, 2009

Mkutano mkuu CHADEMA wafana
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA wakiwa kikaoni jana ambapo Mwenyekiti wake Mh. Freeman Mbowe aliendelea kupeta kama kinara wa chama huku Dk. Wilbroad Slaa akirejea kwenye kiti chake cha Katibu Mkuu huku Mh. Zitto Kabwe akiteuliwa na mwenyekiti wake kuwa Naibu Katibu Mkuu bara wakati Naibu katibu mkuu wa chama hicho visiwani ni Mh. Issa Yusuf.

No comments: