Saturday, September 26, 2009

aisha madinda arudi kwenye fomu
mnenguaji nyota wa twanga pepeta, aisha madinda, amesharudi kwenye fomu na anatesa vilivyo katika safu ya ushambuliaji wa african stars band ambayo imerudi billicanas club kila jumatano katika usiku wa mwafrika. hapo ni katika shoo ya iddi pili usiku huu mango garden, kinondoni, dar

No comments: