Friday, September 18, 2009

kutana na mzee makassy
akiwa ni mmoja wa wanamuziki wakongwe waliokuwa wa mwanzo kuingia bongo toka kongo enzi za mwalimu, mzee makassy anabaki kuheshimika sana katika tasnia ya burudani nchini. hivi sasa ameokoka na anaimba nyimbo za gospo. wenye data zaidi msaada tutani

No comments: