Saturday, September 12, 2009

benzi jipya linauzwa ili kusaidia watoto yatima
Jokate Mwegelo msemaji wa Kampuni ya DT Dobie Tanzania akijaribu gari mpya aina ya Mercedes Benz E Class, Sehemu mapato ya mauzo ya gari hilo yatatumika katika kusaidia vituo mblalimbali vinavyohudumia watoto yatima ambao wazazi wao wamefariki kwa madhara ya UKIMWI. Kulia ni Meneja Biashara wa kampuni hiyo Bw. Wayne Mcintosh na katikati ni Bw. Marco Kahabi ambaye ni Meneja wa Tenda wa kampuni hiyo.

No comments: