Thursday, November 13, 2008

Wazamiaji...
Pichani ni Vijana hawa waliotoroka nchini bila vibali na kwenda Afrika Kusini wakiwa mahakamani baada ya kurudishwa.
-----------
Mtazamo wangu: Tumekuwa tukiimba kuhusu kuleta maisha baora kwa kila mwananchi. Je, ni nini nafasi ya vijana katika kuleta maendeleo? Wanashirikishwaje? wanawezeshwa vipi? Je, tuna mikakati thabiti inayowalenga vijana kujitengenezea maisha bora? Wenye kujua watueleze.Picha ya Mdau Bernard Rwebangira

No comments: