Tuesday, November 25, 2008

Albino united yaanza kugawa dozi
Msemaji wa Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Abdalah Msika akikabidh zawadi ya jezi pamoja na mipira kwa timu ya timu Albino United baada ya kuifunga Times FM bao 2-1
Msemaji wa Jeshi la polisi Afande Abdalah Msika akiwa katikati akiwa na timu ya Albino United ambapo timu hiyo iliibuka mshindi kwa kuifunga Times FM mabao mawili kwa moja mashindano hayo yalifanyia katika uwanja TT Sinza Darajani. Afande Mssika alikuwa mgeni rasmi


No comments: