Saturday, November 29, 2008

wajinga ndio waliwao???
Sema Kadidi,Natumai ni mzima wa afya na unaendelea vyema ktk shughuli zako za kila siku. ebwana naomba utoe issue ya moja ktk blog, ambayo ni kuhusu bei kubwa za Internet ambazo zinazotolewa na Internet Providers wa Kitanzania.
Kwa mfano tu angalia bei za Vodacom
/docredir.asp?docid=3430
ambazo ni kubwa sana kulinganisha na soko la dunia, pia angalia TTCL http://www.ttcl.co.tz/Broadband_Pricing.asp#How
ambazo ni karibia mamilioni ya pesa kulinganisha na soko la dunia. angalia sasa na UK virgin media wanatoza si zaidi ya paund 20 ktk packages zao http://allyours.virginmedia.com/websales/service.do?id=2
au angalia BT
bei ni ndogo sana tena sana. Mkuu naomba fuatilia hili swali kwa nguvu zako zote ili Watanzania nao wapate benefit ya kuwa na cheap internet na kwenda na wakati.
Pia kama ikiwezekana uongozi wa hivi vyombo na vinginevyo viweze kutoa kauli kamili kuhusu bei zao zinazo tesa watanzania na kuwafanya kutokwenda na wakati na kupata faida kubwa ambapo ata Serikali hawaliangalii hili swala.
Mdau UK

No comments: